EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Saturday, May 3, 2014

TUZO ZA KILL DIAMOND AFUNIKA MBAYA

http://youtu.be/rDRd68jS2vg

Diamond Platnumz akipokea mojawapo ya tuzo zake kutoka kwa baby wake, Wema Sepetu 'Beautiful Onyinye'.
Damond akikumbatiana na mpenzi wake Wema kabla ya kukabidhiwa tuzo.
 
Diamond akiwa na mojawapo ya tuzo zake.
 
Mshindi wa tuzo saba (7) za Kilimanjaro Music Awards, Diamond Platnumz akiwa katika pozi na mpenzi wake Wema Sepetu.
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amejinyakulia jumla ya tuzo saba katika zoezi la utoaji tuzo za Kili usiku huu ndani ya Mlimani City jijini Dar es Salaam!

No comments:

Post a Comment