NA: VERONICA VICTOR
MTWARA
Witoumetolewa
Kwa Wananchi Mkoani Mtwara Kuona Umuhimu Wa Kupata Elimu Na Matumizi Ya Lugha
Ya Kiswahili Ambayo Kwasasa Ni Lugha Inayo Kua Kwa Kasi Duniani Maana Kwa
Kufanya Hivyo Kuta Usaidia Mkoa Kukua
Katika Secta Zote Kwasababu Itaongozwa
Na Wasomi.
Akizungumza Na
Waumini Wa Kanisa La Evanjoristic Assemblies
Of God Tanzania(EAGT)Rahaleo Mkoani Humo
Katika Tafrija Ya Kutunikiwa Cheti Cha Udokta Wa Heshima Kwa Mchungaji Mwenyeji Wa Kanisa Hilo Dr Eward Hamisi Mrope Mgeni
Rasmi Wa Tafrija Hiyo Dr Alfonce Mwanjala Ambae Pia Ni Katibu Kanda
Ya Mashariki Kusini Wa Kanisa Hilo Nchini Amewataka Waumini Hao Waone Kuwa
Elimu Ni Jambo La Kuzingatia Sana
Tena Si Kwa Kuajiriwa Bali Kwa Kuongeza
Maarifa Ya Kukabiliana Na Mazingira Yanayo Wazunguka.
Aidha Kwaupande
Wake Profeser Wa Chuo Cha The Africa Graduate
University Ambacho Ndicho Kilicho Mtunikia
Dr Mrope Shaada Hiyo Chanselar Lukas
N Wakaruti Kutoka Nchini Uganda Amewasisitiza Wananchi
Hao Kutopenda Kudumisha Lugha Za
Kigeni Na Kusahau Luga Yao Ambayo Ina
Asili Ya Utamaduni Wao Inchin Humo.
Hatahivyo Amemaliza Kwakusema Kua Japokuwa Watu Wengi
Wanamtazamo Wa Kuwa Watu Wenye Imani
Hiyo Haw Somi Kwa Kuamini Kuwa Kufa Kunakaribia Kua Usemi Huo Ni Wa Zamani
No comments:
Post a Comment