EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Thursday, January 16, 2014

JESHI LA POLISI MTWARA LATANGAZA ZAWADI NONO YA TSH: MILL,5 MSAKO JUU YA JAMBAZI LA NEWALA

TAMKO LA JESHI LA POLISI MKOA WA MTWARA BAADA YA TUKIO LA UJAMBAZI
ZAWADI NONO YA SHILLINGI MILIONI TANO KUTOLEWA

kamanda wa polisi mtwara zerothe stephen
NA:KASSIM NGUMBI
Kwa yeyote atakaye fanikisha kupatikana kwa jambazi ambae alipora pesa katika kituo cha mafuta CAMEL OIL Kiduni wilayani Newala na kusababisha mauwaji ya watu watatu,jambazi huyo inasadikika ni mfupi mwenye mwili uliojaa na ni mweusi pia.Kamanda wa polisi Mtwara anawafahamisha wananchi yeyote  kwa njia ya siri atakaefanikisha kukamatwa kwa jambazi huyo atapata zawadi nono ya Tsh Millioni 5,au kwa mawasiliano ya simu 0715009948,ikiwezekana kuonana na kamanda wa polisi mkoa mtwara ana kwa ana. Na pia vifaa vinavyoonekana hapo chini ni vya jambazi aliyehusika katika tukio hilo
.

No comments:

Post a Comment