EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Monday, November 25, 2013

BRAZIL YAZINDUA JEZI MPYA KWA AJILI YA KOMBE LA DUNIA 2014.

Timu ya taifa ya brazil ambayo ndio mwenyeji wa michuano yafainal za kombe la dunia imezindua jezi zitakazo tumika katika fainali hizo ambazo zina tarajiwa kutimua vumbi mnamo mwezi juni mwakani.

Jezi hizo ambazo  kampuni ya nike imetia mkono wake katika kuzitengeneza,  ubora wa jezi ndio ulio badilika,  lakini rangi ya taifa hilo imebaki pale pale  ila kilicho boreshwa katika uzi huo ni ubora wa material yalio tumika katika utengenezaji
 


No comments:

Post a Comment