Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam
LIGI yetu ya Tanzania Bara
inavyopambwa, hasa katika maandalizi yake, utasema ni nzuri na yenye mvuto
mkubwa hapa nchini. Utaona tambo za kila aina.
Leodgar Tenga, Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF).
Utaona jinsi wachezaji
waliosajiliwa kwa ligi hiyo wanavyopambwa katika vyombo vya habari wakiona wao
ndio kila kitu katika soka la Tanzania.
Lakini si ukweli huo. Katika
miaka nenda rudi, Tanzania tumekuwa soka la kawaida kabisa, japo si sawa na
wenzetu wa Tanzania Visiwani, yani Zanzibar.

No comments:
Post a Comment