EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Monday, August 5, 2013

TENGA ATANGAZA VITA LIGI KUU


Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam
LIGI yetu ya Tanzania Bara inavyopambwa, hasa katika maandalizi yake, utasema ni nzuri na yenye mvuto mkubwa hapa nchini. Utaona tambo za kila aina.
Leodgar Tenga, Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF).
Utaona jinsi wachezaji waliosajiliwa kwa ligi hiyo wanavyopambwa katika vyombo vya habari wakiona wao ndio kila kitu katika soka la Tanzania.

Lakini si ukweli huo. Katika miaka nenda rudi, Tanzania tumekuwa soka la kawaida kabisa, japo si sawa na wenzetu wa Tanzania Visiwani, yani Zanzibar.

No comments:

Post a Comment