VIDEO: MELI YA MIZIGO YA MV. ARAFAT YATEKETEA KWA MOTO KATIKA BANDARI YA TANGA

Meli ya mizigo ”Mv Arafat” inayofanya safari zake kupeleka shehena ya
mizigo katika nchi jirani ya Kenya , Zanzibar na Mtwara Imeteketea kwa
moto katika bandari ya Tanga kwa kile kinachodaiwa kuwa hitilafu ya
umeme.
BIG BROTHER: MSHIRIKI WA TANZANIA APEWA KAZI YA KUTEMBELEA MIGUU NA MIKONO KWA MUDA WA SIKU TANO

SHINDANO la Big Brother
Afrika limeendelea kwa washiriki wawili kutolewa katika wiki ya kwanza
ya mchezo huo ambao unashirikisha washiriki wapatao 28 kutoka nchi 14
barani Afrika.
Jumatatu
iliyopita washiriki walipata nafasi ya kutoa mapendekezo yao ya
kuchagua washiriki ambao wanaona wanafaa kuingia katika Danger Zone
ambapo watano kati yao ndio waliotajwa mara nyingi zaidi na washiriki
wenzao hivyo kuingia huko.
Washiriki
waliongia katika Danger Zone walikuwa ni Betty wa Ethiopia, Selly wa
Ghana, Denzel wa Uganda, Natasha wa Malawi na Huddah wa Kenya
ambapowatazamaji walitakiwa kumpigia kura mshiriki ambaye wanaona...
COCACOLA WAMNUNULIA GARI JIPYA DIAMOND

Ukikutana na Diamond mtaani akiwa na mchuma mpya wenye rangi nyeusi, usishtuke sana, jua ni courtesy of Cocacola.
Inavyoonekana ni kuwa Cocaboy kama anavyojiita siku hizi, amenunuliwa
gari jipya na wadhamini wake kampuni ya vichwaji ya Cocacola.
“Ya all ready know what it’s….. tukutane Fuel station!! #CocaCola
Mumetishaaaaaa,” aliandika jana kwenye picha ya Instagram ya gari hilo
likiwa na maganda yake.
“Chatin infront of my Small baby… on @channeloafrica interview at my clib,” aliongeza.
Siku nzima ya jana, hitmaker huyo wa Kesho alikuwa busy kwenye interview na kituo cha runinga cha Channel O.
...
No comments:
Post a Comment