EBENEZA MARCH 9 2014
SWACO
royal
tt
NIMO
mvuto
Thursday, August 2, 2012
MAHAKAMA YA KAZI YATOA HUKUMU KWA CHAMA CHA WAALIMU cwt
Mahakama ya kazi nchini Tanzania leo imetoa hukumu kwa chama cha walimu nchini CWT kwa kuwataka walimu wote warejee katika sehemu zao za kazi na kukitaka chama hicho kusitisha mgomo huo mapema huku adhabu ya faini ikiwa mbele yao kwa kosa la kuwakosesha wanafunzi haki yao za msingi ya kupata elimu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment