EBENEZA MARCH 9 2014
SWACO
royal
tt
NIMO
mvuto
Saturday, July 28, 2012
AS VITAR NAYO YAJIFUTA MACHOZI KWA KUKAMATA NAFASI YA TATU cagame cup.2012
Baada ya kuchakazwa na Azam katika nusu fainali hatimaye timu ya As Vitar toka Kongo imejifuta machozi kwa kuilaza APR toka Rwanda mabao 2-1 katika mchezo wa kumtafuta mshindi wa nafasi ya tatu katika michuano ya kagame iliyomalizika hii leo katika uwanja wa taifa Jijini Dar,TANZANIA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment