HASSAN DILUNGA |
Na Shafii Mohamed
Baada ya kufanikiwa kumsajili kipa Juma kaseja, klabu ya dar
yanga Afrika ama watoto wa jangwani
wamefanikiwa kumsaili kiungo wa timu ya RUVU shootimg na timu ya taifa ya Tanzania
Hasani Dilunga .
Yanga imefanikiwa kukamilisha usajili wa kiungo huyo wa Ruvu
shooting Aliye jumishwa kwenye kikosi cha timu kitakacho enda kushiriki michuano ya CECAFA Challenge cup nchini Kenya kwa kandarasi au mkataba wa
miaka mitatu ambapo dau la mkataba huo halikuwekwa bayana.
Dilunga anakuwa ni mchezaji wa pili kuasjiliwa na yanga
katika kipindi hiki cha dirisha lililofunguliwa November 15 kufuatia usajili wa
kipa juma kaseja ambao umekamilika wiki iliopita ndani ya timu hiyo
No comments:
Post a Comment