mohamed salah |
akizungumza
kupitia mtandao maalum wa klabu ya chelsea salah amesema kuwa anajisikia furaha kupata mkataba kwenye klub
kubwa na anatumaini atawapa faraja mashabiki wa chelsea.
"i'm
very happy to sign for such a big club. i hope i can make the chelsea
supporters happy."
kiungo huyo
anakuwa ni mchezaji wa tatu kusainiwa na chelsea katika usajiri wa dirisha dogo
la mwezi wa january mwaka huu mara baada ya klabu hiyo kukamilisah usajiri
wa bertrand traore and nemanja matic.
salah pia anakua ni mchezaji wa kwanza toka nchi ya misri kusajiriwa na klabu
ya chelsea nah ii inampa mourinho nafasi ya kuziba mapengo yaliyoachwa na juan
mata pamoja na kevin de bruyne
siku
ya ijumaa kabla ya usajiri huu kukamilika mourinho alitoa taarifa ya kwamba
yuko mbioni kumsajiri mchezaji ambaye amefunga mabao 17 ndani ya mechi 27
alizoichezea timu yake ya taifa ya egypt mourinho alisema kuwa wanafirkiri wao
kama klabu kumpata salah ambaye atakutana na (andre) schurrle, (eden) hazard, oscar na willian watafanya vizuri
sana.
"we
think with him and (andre) schurrle, (eden) hazard, oscar and willian we will
be fine.
alisema unapompoteza
mchezaji mzoefu kama juan mata ni lazima uhitaji kuwa na wachezaji wadogo na
chipkizi ambao pia wanakipaji na uwezo mzuri. akimuelezea salah mourinho
alisema ni mchezaji mwenye uzoefu kupitia ligi kama uefa ama uropa lig na
anaamini ukimuingiza leo msituni kuwinda kwa ligi kama ya uingereza ni lazima
ashinde. alisema anaamini amefika na anaamini kwa kuungana na wachezaji wengime
wenye vipaji basi watakua wamefikia malinego ya ushindi. salah ameshinda mara
tatu kati ya mara nne ya mechi ambazo amekutana na chelsea na pia alikua ni
miongoni mwa mipango ya kocha mkuu wa liverpool brenden rodgers.
No comments:
Post a Comment