Kufuatia kauli za Serikali magazetini
kuhusu mimi na kodi ya umiliki wa kadi za simu; nijibu tu kwa ujumla
kwamba SITAACHA. Badala yake naomba kuwapatia namba zao: Makamba
0767783996 na Mgimwa 0754/0684765644, tunachohitaji ni kauli ya
Serikali kuwa kodi imesitishwa na itaondolewa na sio siasa chafu.
Kwa mliotaka msimamo wangu juu ya kauli ilinukuliwa jana tarehe 18
Julai 2013 na Gazeti la Majira kwamba Naibu Waziri wa Mawasiliano,
Sayansi na Teknolojia Januari Makamba kwamba; “Mnyika anaangalia upepo
unakoelekea, akiona watu wanalalamika ndipo anaongea namsihi aache
kufanya siasa katika jambo hili”, naomba kutumia mtandao huu kutoa
majibu ya ujumla kwa maswali na masuala yote kama ifuatavyo:Nieleze
kwamba sitaacha kufanya siasa kwenye jambo hili mpaka kodi hiyo
itakapofutwa...
No comments:
Post a Comment