BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA ADAI KUWA UJIO WA RAIS OBAMA SI KWA AJILI YA RASILIMALI ZA MTANZANIA
Akiongea na waandishi wa habari jana,
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Alfonso Lenhard amesema ziara ya
mwezi ujao ya Rais wa Taifa la Marekani, Barack Obama nchini Tanzania
haina ajenda ya siri: "kuna maswali mengi naulizwa kwa nini
Rais Obama amechagua kuzuru Tanzania? Ni kweli Rais wetu anakuja
malengo ya ziara yake yatajikita katika mambo ambayo ni malengo ya
Marekani kwa Afrika, ambayo ni uhusiano wa kiuchumi, kuimarisha
demokrasia na kuwekeza katika kujenga kizazi kijacho cha uongozi."
Akijibu swali aliloulizwa na mwandishi wa habari kuhusu uhusiano wa
ujio wa Rais Obama na rasilimali za...
"SIWEZI KUMWACHA PREZZO HATA AWE MALAYA KIASI GANI....MUNGU ALIMZAA KWA AJILI YANGU"...DIVA WA CLOUDS FM
DIVA AKIWA NA MKE MWENZA...
Jana
Diva wa Clouds fm amevunja ukimya na kufunguka tena kuhusu penzi lake kwa Mkenya a.k.a Prezzo...
Diva ndani ya pozi la nusu uchi...
HII NI KAULI YAKE:
“Okay now that some bloggers blog about me and Prezzo and Prezzo kuwa womanizer …Prezzo this and that ..blah blah blah OGAWD.
Guys
Prezzo is the President……….he is grown man and labda hamumjui au
hamjawahi kaa nae au kuzungumza nae but trust me he is such a
sweetheart....
He is a very good guy and he...
"KAMA NINGEKUWA RUGE NINGEMPIGIA MAGOTI LADY JAYDEE NA KUMUOMBA MSAMAHA"....SEBO WA MAGIC FM
Katika kipindi cha Sun Downer cha Magic
FM, mtangazaji huyo amesema kwamba shangwe zilizolipuka mara baada ya
Jaydee kutajwa kuwa miongoni mwa wanaowania tuzo ya msanii bora wa kike
katika tuzo za KTMA, ni ishara ya mwanadada huyo kukubalika katika jamii.
Mtangazaji huyo amesema kwamba Jaydee ni mwanamke mwenye uthubutu katika
harakati za kuyasaka maisha na kwamba yeyote mwenye nia ya kukwamisha
jitihada zake aibu na iwe juu yake.
Ameongeza kuwa kukubalika kwa
mwanadada huyu pia kulidhihirika pale watazamaji katika tukio hilo
walipomshinikiza Meneja wa msanii huyo (Gadna) kutaja kiingilio...
MBUNGE WA MTWARA ASOMEWA SHITAKA LA UCHOCHEZI NA KUREJESHWA RUMANDE BAADA YA KUKOSA DHAMANA
Mbunge
wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnein Murji (kushoto) akiingia katika chumba
cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mtwara jana kusomewa shtaka la
kufanya uchochezi. (picha: Haika Kimaro/MWANANCHI)
Mbunge
wa jimbo la Mtwara Mjini (CCM), eneo ambalo limekumbwa na vurugu hivi
karibuni kusini mwa Tanzania, Hasnein Murji na watuhumiwa wengine 91
wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani humo Jumatatu, Juni
10, 2013 akituhumiwa kwa makosa ya uchochezi wa vurugu zilizosababisha
vifo vya watu watatu mwezi uliopita.Murji amepandishwa kizimbani
ikiwa ni moja ya mkakati wa vyombo vya dola kuwasaka na kuwafungulia
mashitaka watu...
VIDEO YA MWIGULU AKIDAI KUWA CHADEMA NI WAUAJI NA AMEKIRI KUHUSIKA NA VIDEO YA LWAKATARE
ASEMA CHADEMA WANAVIPAJI VYA KUSEMA UWONGO
ABAINISHA KUWA YEYE NDIYO ALIYETOA VITENDEA KAZI KWENYE VIDEO INAYODAIWA YA UGAIDI YA LWAKATARE
ANUKULIWA “CHADEMA NI CHAMA CHA WAUAJI MPAKA SASA WAMEUWA WATU ZAIDI YA WANANE”
MUSA, MHANGA WA TUKIO LA KUMWAGIWA TINDIKALI IGUNGA AMUUNGA MKONO.
Angalia video ambayo inamuonyesha Naibu
Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba akinadi chama chake kwenye kampeni za udiwani Arusha zikiwa zimebaki
siku 6 tu kabla ya uchaguzi.
SOURCE: MEDIA 2 SOLUTION...
TCRA YAAGIZA STAR TV IRUDISHWE MARA MOJA KATIKA VING'AMUZI VYA STAR TIMES
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Prof. John Nkoma akitoa maamuzi kuhusu kujitoa
kwa Star TV kwenye Star Times.
TCRA imeagiza Chaneli ya Star Tv irudishwe mara moja kwenye Star Times
ndani ya masaaa machache yajayo.
Aidha Star Times na Star TV wameelezwa kuwa wote wamevunja sheria ya
Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta ya 2010 na Kanuni zake na kutakuwa
na kujitetea tarehe 17 Juni 2013.
Agizo la kurudishwa kwa Chaneli ya Star TV linatakiwa kutekelezwa ili
kuhakikisha kuwa wananchi hawanyimwi haki ya kupata habari.
Vile vile wote wametakiwa kufuata Sheria inapotokea kutokuafikiana
badala...
MSANII MATONYA AFIKISHWA MAHAKAMANI HUKO SONGEA KWA TUHUMA ZA UTAPELI....HUU NDO MKASA WAKE
Msanii Matonya amekamatwa kutokana na kufanya utapeli katika show
aliyotakiwa
kufanya katika ukumbi wa Jambolee uliopo manispaa ya Songea mkoani
ruvuma.
Taarifa zinadai kuwa Matonya aliingia ukumbini akiwa amelewa, hali
iliyomfanya ashindwe kufanya show na kusababisha hasara katika ukumbi
huo baada ya
kufanya fujo ya kuvunja vitu ukumbi hapo...
Baada ua hali hiyo, waandaaji wa show hiyo
waliamua show hiyo ifanyike kesho yake na kiingilo kiwe ni kununua
bia .
Mbali na sakata hilo, Matonya alitakiwa akafanye show nyingine wilaya...
No comments:
Post a Comment